Alama ya dukuduku hutumika kwa njia zifuatazo:

  1. maneno yameachwa ya kutangulia, kati au ya mwisho. Yaweza kuachwa kwa kuwa makali
  • Nyani haoni…
  1. kukatizwa usemi/kauli

AMINA: Mama ni…

MAMA: Kwanza watoka wapi usiku huu?

  1. maneno yanaendelea 
  • Alimwambia ajihadhari anapovuka barabara…

ALAMA ZA UAKIFISHA
Alama za usemi(“”)
Koma/mkato/kipumuo( , )
Ritifaa/kibainishi( ’ )
Mshazari/mkwaju(/)
Kistari kifupi( – )
Kistari kirefu
Mstari( ___  )
Kikomo/kitone/nukta (.)
Nusu/semi koloni/nukta na kituo (;)
Vifungo/mabano/paradesi( )
Herufi kubwa(H)
Herufi ndogo (h)
Koloni/ Nukta mbili ( : )
Hisi/mshangao (!)
Herufi nzito (h)
Herufi za mlazo/italiki(h)
Kinyota(*)
Swali/Kiulizo