KIDATU

 KIDATU

Hii ni sifa ya kiarudhi ambayo hubainishwa na kupanda na kushuka (mpandoshuko) kwa kiwango cha sauti. Kidatu hudokeza maana ya msemaji (kwa msikilizaji). Hali hii hutokana na kasi ya msepetuko wa nyuzi za sauti ndani ya koromeo.

AINA ZA KIDATU

(i)                 Kidatu cha juu

(ii)               Kidatu cha kati

(iii)             Kidatu cha chini

Kwa ujumla kidatu ni kiwango cha juu, cha kati au cha chini katika usemaji.

hati miliki zimehifadhiwa

Leave a Reply

scroll to top