Kishazi huru (K/Hr)

Kishazi huru ni kifungu cha maneno katika sentensi ambacho hutoa maana kamili. Kishazi huwa na tabia ya kutoa taarifa ambayo huwa ni kamili katika tungo, hubeba kitenzi kikuu au kishirikishi ndani yake. Kishazi hiki huwa hakihitaji maelezo ya ziada ili kukamilisha maana au taarifa kusudiwa na pia huweza kujitegemea kama sentensi kamili na huwa na muundo wa kiima na kiarifu.

Mfano; Tazama jedwali lifuatalo:

KiimaKiarifa
Mamaanapika chakula
mwalimuanamfahamu
chifu amempiga vibaya
Kishazi
Kishazi tegemezi
Sifa za Kishazi tegemezi
Aina ya vishazi tegemezi