MAADILI YA MFASIRI BORA

 1.      Awe mwaminifu kwa matini na kwa mwenye matini; yaani asipotoshe habari au kusema uongo. ·

2.      Awe mchapakazi (Kujituma/Bidii katika kazi) ·

3.      Awe nadhifu – Unadhifu-mwonekano wa moyo, asiwe tapeli/laghai ·

4.       Aelewe/kuelewa taratibu za kazi na kuzifuata. Mfano; bei ya kutafsiri kwa ukurasa au kwa maneno. ·

5.      Ushirikiano/kushirikiana na watu mbalimbali wa fani mbalimbali, makundi


hati miliki zimehifadhiwa

Leave a Reply

scroll to top