Shamirisho kipozi /yambwa tendwa. ( direct object)

Huonyesha kile kinachotendwa katika sentensi; Huonyesha kile ambacho hupokea athari ya kitenzi moja kwa moja. Mfano:Mpishi anapika chakula , Mwanafunzi anaandika kitabu .

Katika sentensi hizi mbili, chakula  na kitabu ni kipozi/ yambwa tendwa

Mifano zaidi:

Nyumba kubwa iliyojengwa jana imebomoka.

Anita alimkatia mtoto mkate kwa kisu.

Mwanaheri alinunua simu yenye rangi nyingi.

Shamirisho
Shamirisho kitondo /Yambwa tendewa. (indirect object)
Shamirisho ala/ kitumizi