Sifa za Maishairi Huru

  •  Huwa hayazingatii idadi sawa ya mishororo katika beti.
  • Aghalabu huwa hayana urari wa vina.
  • Hayana idadi maalum ya vipande katika mishororo.
  • Huwa hayana idadi sawa ya mizani katika mishororo.
  • Nyingi yazo huwa na kipande kimoja tu.
  •  Hutumia mistari mishata.
  • Hayana kibwagizo bali huwa na kituo.
  •  Hutumia takriri kwa wingi.

          

USHAIRI

1.        

Historia ya Ushairi

2.        

Changamoto za ufundishaji na usomaji wa uhairi

3.        

Istilahi zinazotumika katika ushairi

4.        

Sifa za mashairi ya kimapokeo

5.        

Sifa za mashairi huru

6.        

Kategoria kuu za mashairi

7.        

Bahari za mashairi

8.        

Uchambuzi wa mashairi

9.        

Uhuru wakishairi

hati miliki zimehifadhiwa

2 Replies to “Sifa za Maishairi Huru”

  1. Grivine Wabwire says:

    It’s just nice

  2. Grivine Wabwire says:

    Keep it up

Leave a Reply

scroll to top