UHUSIANO KATI YA FONOLOJIA NA MATAWI MENGINE YA ISIMU

Isimu Jamii

► Tawi hili huangalia matumizi ya lugha na jamii zinavyohusiana, kujua hisia utamaduni wa jamii na kubalidi msimbo kwa mfano kwa nini lugha inakufa. Uhusiano wake na fonolojia upo katika utofauti kati ya wazungumzaji wa eneo katika matamshi.

ISIMU HISTORIA

► Tawi hili huangalia mabadiliko ya sauti yaani sauti fulani ilivyobadilika toka awali na kuendelea.

ISIMU SAIKOLOJIA

► Huangalia jinsi mtu apatavyo (aamiliavyo) lugha, jinsi motto anavyoanza kuamili lugha. Pia inaangalia kuwa lugha ipo kwenye ubongo . Sauti za kwanza ambazo ni msingi katika lugha husika. Vilevile huonesha mambo yanayoweza kumzuia au kumkabili mtu kutoa sauti fulani.

hati miliki zimehifadhiwa

Leave a Reply

scroll to top