UHUSIANO KATI YA FONOLOJIA NA MOFOLOJIA

 MOFOLOJIA

► Ni taaluma inayochunguza maumbo ya maneno katika lugha yaani namna neno linavyoundwa.

Kipashio chake cha msingi ni MOFIMU ambacho hakiwezi kugawanyika mara mbili na kuleta maana ya kileksika ama kisintaksia, kwa mfano

Mama

●Mofimu leksika/huru

m/toto

●m- ni kiambishi cha idadi

●toto mofimu ya mzizi

UHUSIANO

►Taaluma zinahusika na lugha mahsusi/maalumu

► Mofimu ambazo ni vipashio vya msingi huundwa na fonimu.

► Mofimu moja inaweza kuwa na maumbo mbalimbali→ALOMOFU

Kwa mfano

Mtoto, muuguzi, mwalimu

Kuna m, mu, mw ambazo ni mofimu za umoja nazo ni alomofu za mofimu  ngeli ya kwanza umoja. (YUAWA).

►Fonimu ni kipande tu cha sauti yaani umbo la kitamkwa kimoja wakati mofimu yaweza kuwa umbo la silabi, mofimu au neno.

hati miliki zimehifadhiwa

Leave a Reply

scroll to top