UHUSIANO KATI YA FONOLOJIA NA SEMANTIKI

 Semantiki ni taaluma inayohusika na maana.

Fonimu ni vipande vya sauti msingi katika fonolojia ambavyo maana zake lazima zitumike katika mfumo mzima wa lugha . Na ndizo zinazobadili maana nzima ya maneno katika lugha kwa mfano kata, kaba ndizo zinazotuletelea kupata maana tofauti za maneno hayo kwa kuzingatia mpangilio fulani ulio maalumu. Hivyo basi tukijua maana za maneno katika lugha ni rahisi kutambua fonimu za maneno katika lugha husika.

hati miliki zimehifadhiwa

Leave a Reply

scroll to top