UHUSIANO KATI YA FONOLOJIA NA SINTAKSIA

 Sintaksia ni taaluma ihusikayo na mpangilio wa maneno katika tungo. Kipashio cha msingi katika sintaksia ni neno. Kipashio cha juu katika sintaksia ni SENTENSI. Aidha sentensi huundwa kwa maneno yaliyoundwa na mofimu. Maneno hayo pia huunda kirai+kishazi+sentensi.

Kuna kanuni za kifonolojia zinazotawala miundo ya tungo hizo.

Neno lazima likubaliane na mpangilio wa silabi na fonimu

Kuna kanuni fulani zitumikazo ili kupata muundo fulani wa maneno, kwa mfano

Mke wake mkewe. Uunganishaji na udondoshaji ni kanuni za kifonolojia.

hati miliki zimehifadhiwa

Leave a Reply

scroll to top