Sentensi

Sentensi ya Kiswahili

Sentensi ni fungu la maneno linalojitosheleza kimaana linalotumiwa katika mawasiliano. sentensi pia inaweza fasiriwa kuwa ni Sentensi huwa ndio ngazi ya juu zaidi katika tungo na hujengwa kwa vishazi.

        Sifa za sentensi 

  1. Huwa na ujumbe uliokamilika.
  2. Huwa na mpangilio maalum wa maneno.
  3. Huwa na muundo wa kiima na kiarifu.

        Aina za sentensi

  1. Sentensi sahili
  2. Sentensi Ambatano
  3. Sentensi changamano

Leave a Reply

scroll to top